Nani (remix) (feat. Zuchu)

Innoss'B

Compositor: Não Disponível

Innos
Chu chu chu chu

Kebo na bise elinge banda (esie bandi)
Kebo na mbiso bayuma bakota kate (esie bakoti)
Cababwe eh cababwe na katya bulletin
Soda eh soda mundu kyakaka
Nakeba dajuma naguzi babeti boteka
Nakena mabono na money babeti boteka
Bomba bomba bomba sukalu
Bomba bomba eh bomba butamu
Mama lobagi yekolako lukabwona

Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
Yamemwagika yamemwagika yamemwagika
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Amina, amina na mwajuma
Wanaringa hawa kima
Kumbe wanauza (usiseme hivyo)

Kilode kilode kilodee
Watoto wadogo wanataka nipotee
Haa! Labda nifukiwe chini wala wasiwaongopee
Hee! Shindo langu mimi mjikusanye wote
Haya sema shkamoo dada (shkamoo dada)
Shkamoo kaka (shkamoo kaka)
Mniamkie shkamoo mama (shkamoo mama)
Shkamoo baba (shkamoo baba)

Alulue alulueee (alulue alulueee)
Aah kama mtu hachezi mzabue (tumzabue tumzabue)
Sema alulue alulueee (alulue alulueee)
Kama mtu hachezi tumtoee (tumtoe tumtoe)

Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
Aah twende maftaaa taa mafta taa mafta ta (yana nini)
Yamemwagika yamemwagika yamemwagika (eti mpaka wapi)
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini (mama)

©2003- 2024 lyrics.com.br · Aviso Legal · Política de Privacidade · Fale Conosco desenvolvido por Studio Sol Comunicação Digital